Kujenga Amani na Kutatua Migogoro
Kupatanisha na kuzuia migogoro kati ya wakulima na wafugaji kupitia uhamasishaji, majadiliano na mbinu za kisasa za maisha.
- Majadiliano ya jamii na mikutano ya makundi
- Upatanishi wa wakulima na wafugaji
- Elimu ya ufugaji wa kisasa





